Acts 19:13

13 aBasi baadhi ya Wayahudi wenye kutangatanga huku na huko wakitoa pepo wachafu wakajaribu kutumia jina la Bwana Isa wale wenye pepo wakisema, “Kwa jina la Isa, yule anayehubiriwa na Paulo, nakuamuru utoke.”
Copyright information for SwhKC